Open top menu
Tuesday, January 21, 2014

Jaguar atua Dar akiwa na ndege yake kuwashukuru watanzania wanaomsapoti




Msanii Jaguar wa 254 kenya, weekend hii alitua jijini dar es salaam na ndege anayoimiliki aina ya cessna akiwa ameongozana na crew ya watu sita, ktk tour ambayo yeye amesema ni maalum kwa ajili ya kuwashukuru fans wake wa Tanzania kwa kuzipokea ngoma zake vizuri,
 vilevile alikua ameleta ngoma yake mpya inaitwa kioo pamoja na video ambayo ameishoot ndani ya gereza moja kenya, ilikua ni shangwe kwa baadhi ya wafungwa siku ambayo msanii alifika gerezani hapo kwani alipomaliza ku shoot video alitoka na wafungwa wengine nane kwa kuwalipia dhamana, mtonyo kama milioni kumi zilitumika ktk zoezi hilo,
 hapa jaguar anafunguka vigezo alivyotumia ktk kuwadhamini wafungwa nane hadi wakafutiwa adhabu za kifungo
pia vile vile jaguar akafunguka kuhusu aina biashara yake ya tax inavyomlipa, na alianza na tax moja miaka mitano iliyopita na sasa hivi anamiliki zaidi ya tax mia
 

jaguar hapendi kuzungumzia sana utajiri wake, ila anasema hii ni biashara clean wala hajihusishi na madawa, anaamini mungu na si mfuasi wa freemason na kwasasa jaguar amesepa jana kurudi zake kenya 

 

Tagged
Different Themes
Written by Templateify

Aenean quis feugiat elit. Quisque ultricies sollicitudin ante ut venenatis. Nulla dapibus placerat faucibus. Aenean quis leo non neque ultrices scelerisque. Nullam nec vulputate velit. Etiam fermentum turpis at magna tristique interdum.

0 comments