
Saturday, January 25, 2014

Tuesday, January 21, 2014

Muigizaji nyota wa tamthilia ya Isidingo lesego Motsepe afariki
7:08 AM
0 comments

Muigizaji nyota, Lesego Motsepe, ambae alikuwa akijulikana kama Letti Matabanne katika tamthilia ya Isidingo amefariki dunia.
statement iliyotolewa kwa
niaba ya familia ya Motsepe inasema kuwa, alikutwa akiwa ameshafariki na
kaka yake "Moemise Motsepe" akiwa nyumbani kwake mida ya saa tano
asubuhi,
Mwaka
2011, siku ya ukimwi duniani, Motsepe alijitangaza hadharani hali yake
ya VVU katika kusaidia kupambana na unyanyappaa dhidi ya watu wanaoishi
na ugonjwa huo. Alifanya pia warsha
kadhaa na mazungumzo juu ya umuhimu wa kuishi kwa matumaini kwa
walioathirika na Ukimwi moja kwa moja au vinginevyo. Yeye pia alifanya
kazi kama balozi wa Ukimwi kwa miaka mingi, kuwaelimisha watoto katika
jamii mbalimbali.
Lesego
ameelezewa kama binti mwenye upendo, dada na rafiki, alikuwa ni mhitimu
wa mchezo wa kuigiza, alikuwa ni muigizaji, mshairi,na mtoa hadithi ambaye alitumia zaidi ya miaka 10 katika sehem kubwa ya tamthilia hiyo maarufu.
Motsepe
aliishi na mama yake - Ivy Skhosana na kaka zake wawili wawili -
Andile Skosana na Moemise Motsepe na wapwa mbalimbali, wajukuu, familia
yake ya kiroho na familia pana.

Jaguar atua Dar akiwa na ndege yake kuwashukuru watanzania wanaomsapoti
7:05 AM
0 comments
Jaguar atua Dar akiwa na ndege yake kuwashukuru watanzania wanaomsapoti
Msanii Jaguar wa 254 kenya, weekend hii alitua jijini dar
es salaam na ndege anayoimiliki aina ya cessna akiwa ameongozana na crew ya
watu sita, ktk tour ambayo yeye amesema ni maalum kwa ajili ya kuwashukuru fans
wake wa Tanzania kwa kuzipokea ngoma zake vizuri,
vilevile alikua ameleta ngoma
yake mpya inaitwa kioo pamoja na video ambayo ameishoot ndani ya gereza moja
kenya, ilikua ni shangwe kwa baadhi ya wafungwa siku ambayo msanii alifika
gerezani hapo kwani alipomaliza ku shoot video alitoka na wafungwa wengine nane
kwa kuwalipia dhamana, mtonyo kama milioni kumi zilitumika ktk zoezi hilo,
hapa
jaguar anafunguka vigezo alivyotumia ktk kuwadhamini wafungwa nane hadi
wakafutiwa adhabu za kifungo
pia vile vile jaguar akafunguka kuhusu aina biashara
yake ya tax inavyomlipa, na alianza na tax moja miaka mitano iliyopita na sasa
hivi anamiliki zaidi ya tax mia
jaguar hapendi kuzungumzia sana utajiri wake, ila
anasema hii ni biashara clean wala hajihusishi na madawa, anaamini mungu na si
mfuasi wa freemason na kwasasa jaguar amesepa jana kurudi zake kenya

iPhone Hi-Jacked : Grand Theft Auto 4
6:45 AM
0 comments
iPhone Hi-Jacked : Grand Theft Auto 4
2
(Reichtenburg, Germany) UCS News-- German high school student has once
again achieved the impossible. 18 years old Hans Nuttzipper has cracked
the encryption and ported the shocking popular Grand Theft Auto 4 video
game to the Apple iPhone.
According to tech watchers Nuttzipper has "Once again scaled the mount Olympus of iPhone - hacks." CNet declared the GTA4 iPhone hack "A stunning achievement that will inspire millions."
Nuttzipper announced the GTA4/iPhone hack on his blog and provided the 18 step instructions and required code. The young German took on the challenge after a classmate stated it would be impossible. Nuttzipper attacked the iPhone and his copy of GTA 4 with vengeance and after a marathon coding session booted GTA4 on his 8gig iPhone.
Steve Jobs stated in a press release "Nuttzipper is a giant among his peers, this single feat will nearly guarantee Apple sells another million iPhones next year."
"We are excited about creating a vibrant third-party developer community around the iPhone and enabling hundreds of new applications for our users," Jobs said in the posting.
According to tech watchers Nuttzipper has "Once again scaled the mount Olympus of iPhone - hacks." CNet declared the GTA4 iPhone hack "A stunning achievement that will inspire millions."
Nuttzipper announced the GTA4/iPhone hack on his blog and provided the 18 step instructions and required code. The young German took on the challenge after a classmate stated it would be impossible. Nuttzipper attacked the iPhone and his copy of GTA 4 with vengeance and after a marathon coding session booted GTA4 on his 8gig iPhone.
Steve Jobs stated in a press release "Nuttzipper is a giant among his peers, this single feat will nearly guarantee Apple sells another million iPhones next year."
"We are excited about creating a vibrant third-party developer community around the iPhone and enabling hundreds of new applications for our users," Jobs said in the posting.
Subscribe to:
Posts (Atom)