YOU HEARD: ISHA MASHAUZI ATUHUMIWA KUIBA POCHI YENYE ZAIDI YA SH LAKI 7
Posted: 2013-04-25 07:28:19 UTC-07:00
Msanii aliewahi kuchukua tuzo mwaka jana kwa umahiri wake wa kuimba
vizuri mziki wa taarabu, Isha Mashauzi, leo hii kupitia u heeeeard na
Gossip Cop Sudy Brown, ametuhumiwa kuiba pochi la mwenye duka maeneo ya
Kariakoo, na huku ikisemekana pochi hiyo ilikuwa na mkwanja wa mauzo,
shilingi 758,000.
0 comments