Open top menu
Wednesday, November 20, 2013
Thursday, May 30, 2013
NG: OPEN LETTER / MSWAKI - R.I.P Ngwea

SONG: OPEN LETTER / MSWAKI


Kabla rapper Ngwea hajafariki, moja ya producer aliekuwa anafanya nae kazi ni producer, ambapo kazi hii ilikuwa ni kwa ajili ya Ngwea, na ilikuwa imebaki yeye tu kuja kuingiza verse zake kwababu chorus tayari ilikua ishaingizwa, lakini baada ya habari hizi mbaya kutufikia (kifo cha Ngwea), Mswaki ameamua kuingiza sauti yake mwenyewe na kutimiza kile alichokuwa anataka kukifanya Ngwea. ukisikiliza hii ngoma kama hujaambiwa kaimba nani, lazima utajua ni Ngwea kumbe ni Mswaki..R.I.P Ngwea

Read more
Tuesday, May 14, 2013
LINEX AMLIZA MAMA YAKE MZAZI MBELE YA UMATI WA MASHABIKI ZAKE

LINEX AMLIZA MAMA YAKE MZAZI MBELE YA UMATI WA MASHABIKI ZAKE


Msanii Linex ambae amejizolea mashabiki kibao kutokana na umahiri wake katika kutumia sauti yake, jana amemliza mama yake mzazai pale alipokuwa akifanya show yake ya bure mkoani alipozaliwa, Kasulu, Kigoma.
Tangu Linex alipoanza safari yake ya muziki takribani miaka 3, mama yake mzazi hajawahi kumuona na kumshuhudia mtoto wake live akifanya show.Ni katika uwanja wa ambapo mama alimshudia mtoto wake akiwa amejaza umati wa watu kuja kumshuhudia akifanya show, ndipo alipokutana na umati huo na jinsi kila mmoja alivyokua akimshangilia na kujikuta akimwaga machozi na kumsababisha Linex kuangua kilio pia akiwa mbele za mashabiki wake.
Linex aliamua kufanya show hiyo bure mjini kwao kwa ajili ya kutoa sapotio kwa wanao msapoti..
"yaani nimeshangaa sana kukuta umati wa watu uwanjani, unajua Kasulu ni mji mdogo sana so kukuta watu wote wale sijui hata wametoka wapi, ki ukweli mama yangu hajawahi kuniona nikifanya show, jana ndio ilikua mara yake ya kwanza, na alishangaa sana kuona watu ni wengi na wanashow love ya hatari..wakati mi naimba pale, nilimuona mama yangu na furaha mpaka anatoka machozi, ki ukweli nilijikuta na mimi naangua kilio tu, ila ilikua nzuri sana na watu wamefurahi sana" amesema Linex



Read more
Sunday, April 28, 2013
Bruno Mars On The Cover Of GQ Magazine - JUSHB




Bruno Mars On The Cover Of GQ Magazine

For their April issue, GQ magazine get R&B superstar Bruno Mars to grace the cover. For the interview, Bruno sat down with Chris Heath out in Los Angeles. You can read the cover story here, where he talks about songwriting, responding to backlash, his style, impersonating Elvis, retirement and much more.Bruno Mars On The Cover Of GQ Magazine - JUSHB
Read more
HAWA NDIO TOP 5 BILLIONAIRES WA DUNIA AMBAO WANA UMRI MDOGO ZAIDI

HAWA NDIO TOP 5 BILLIONAIRES WA DUNIA AMBAO WANA UMRI MDOGO ZAIDI

 
Umri: 28 Thamani ya utajiri wake: $13.8 billion WASIFU WAKE: Aliwahi kuishi chumba kimoja na Mark Zuckerberg, Alikuwa moja ya wafanyakazi kampuni ya Facebook ambayo ana mchango mkubwa katika kuanzishwa kwake, Hadi sasa Moskovitz huwa anatumia usafiri wa baisikeli kwenda kazini. Anapanda ndege za wananchi wa kawaida anaposafiri.
Namba 2 ni Mark Zuckerberg
Mark Zuckerberg
Umri: 28
Thamani ya utajiri wake: $13.3 billion
WASIFU WAKE: Ndio mwanzilishi wa Mtandao wa kijamii maarufu wa Facebook ambao ndio chanzo kikuu cha utajiri wake.


Namba 3 ni Albert von Thurn und Taxis

Albert von Thurn und Taxis
Umri: 29
Thamani ya utajiri wake: $1.5 billion
WASIFU WAKE: Jina lake liliingia katika orodha ya Matajiri inayoandaliwa na Forbes akiwa na umri wa miaka 8, lakini alirithi rasmi utajiri aliokuwa nao mwaka 2001 alipotimiza miaka 18, Ni mpenzi mkubwa wa Rally za magari, Yeye pia hushiriki mbio mbalimbali za magari huko Ujerumani.


Namba 4 ni Scott Duncan

Scott Duncan
Umri: 30
Thamani ya utajiri wake: $5.1 billion
Duncan ni mtoto wa mwisho wa Dan Duncan - Billionea aliyepata utajiri mkubwa kutokana na biashara ya gesi kupitia kampuni ya Enterprise Products Partners ambayo mpaka sasa inamiliki eneo lenye ukubwa wa maili 50,000 zenye gesi asilia na mafuta.

Namba 5: Eduardo Saverin

Eduardo Saverin
Age: 30
Thamani ya utajiri wake: $2.2 billion
Ni moja ya waanzilishi wa Facebook pia, Alijivua uraia wa Marekani mwaka 2011, na alishawahi kuingia katika vita kali ya maslahi na Facebook na kutulia baada ya kupewa asilimia 5 za shares, Kwa sasa anaishi huko Singapore ambapo anaendesha biashara zake nyingine.

#JFYI: Thamani ya utajiri ni kwa dola na imezingatia fedha zao ambazo hazipo katika mzunguko tu
Read more
Thursday, April 25, 2013
 F. Persky & Company- The Beginning of the Perko Story

F. Persky & Company- The Beginning of the Perko Story

Full view of the Persky & Co anchor lantern. Today the company is known as PERKO.

The PERKO Story consists of many interesting pieces. They make up a modern day marine hardware success story that goes back over 100 years! This is the first sentence from the Perko story, the history of the famous American marine lighting company as taken from their website. I had known enough about the Perko story to turn to it while researching this recently discoverd lantern and the article was the source that validated it's maker. So, this blog is in part about the Perko companies beginnings and is demonstrated by an example of one of the first marine lanterns produced by this famous marine hardware company.

Name of PERSKY & CO., AJAX , NEW YORK, U.S.A. on hourglass shaped globe.

This early example is of one of their first anchor lanterns produced when the company was created by F. Persky & Company, New York, lantern makers in the early 1900's. The company was in operation for about a dozen years until 1913 when Frederick became president of National Marine Lamp Company. This Company name was established prior to Frederick Persky changing his last name to Perkins! (See history below).

Side-open view of the Persky lantern.

This unique lantern was manufactured using galvanized metal with brass chimney cap and 'Christmas tree' vents and ring handle and two tie-down rings on each side and five vertical wire guards. Fixed 'hourglass' shaped molded colorless globe with embossed letters stating "PERSKY & CO. AJAX. NEW YORK, U.S.A.". According to a PERKO representative, they believe that the name 'AJAX' was the name of the company that produced the glass globe. Measures 10 3/4" tall, exclusive of the ring bail handle, 4 1/4 inches diameter of base. Slight scaling on exterior of the metal surface, but overall, this lantern survives in good original condition. Missing burner.

Top section and brass chimney cap of Persky & Co. anchor lantern.

History (The Perko Story)

The story starts with Frederick Persky, who later became known as Frederick Perkins. He was a Russian immigrant who was schooled in Germany as a machinist and tool-and-die maker. Frederick came to the United States in the early 1890's and soon became employed as a machinist for E.W. Bliss & Company in Brooklyn, New York. In the early 1900's, he and a partner began operating a business, F. Persky & Company, Lantern Manufacturer, out of the basement of his house.

In 1907, Frederick's son Louis joined him in the business, and together they enlarged both the product line and the manufacturing facilities. By 1912, they had seventeen employees and made a wide range of marine lanterns and products.



The business continued operating until 1913 when Frederick became president of National Marine Lamp Company, based out of Forestville, Connecticut. Frederick and Louis left that company in 1916 and moved back to Brooklyn, New York, where they started Perkins Marine Lamp Corporation.

Anchor lantern manufactured by the National Marine Lamp Co., Forestville, Ct.

Five generations later, PERKO is still a privately owned, family operated corporation, which is unusual in today's marketplace. Perkins Marine Corporation was initially known as Perkins Marine Lamp, Inc. The original focus was on the manufacture of hand formed sheet metal products for the marine market. The first catalog was published in 1916, with a product line as diverse for its time as PERKO's catalog is today.

Anchor lantern manufactured by Perkins Marine Lamp Co.,  Brooklyn, New York

It included a full range of kerosene and electric lanterns for small and large boats, ventilators, chart cases, signaling devices, mooring buoys, pumps and a variety of spare parts. These products, fabricated from brass, copper and galvanized sheet metal, began what was our ongoing reputation for producing high quality products. We still do some hand forming and soldering today, much as it was done in our early years.
In 1922, the "PERKO" trademark was instituted. Each new product (and there were many) utilized the latest, sophisticated metal manufacturing technology and customers came to expect the highest standard of excellence from PERKO products.

Two other examples, one identical to the one in this blog, the other manufactured in brass was in the Phillip Sullivan Collection of Lanterns, recently auctioned off by the Jeffry S. Evan & Associates, Mt. Crawford, Virginia.

The Persky & Co. AJAX anchor lantern is currently available at Skipjack Nautical Wares & Marine Gallery. Follow the link above to the product listing on their webstore.


Read more
 Maritime Lantern- Manufactured by Barbier, Benard and Turenne, Makers of Lighthouse Fresnel Lens

Maritime Lantern- Manufactured by Barbier, Benard and Turenne, Makers of Lighthouse Fresnel Lens

Post or Anchor lantern made by Barbier, Benard & Turenne, Paris France.
A recent discovery by our firm, this exceptional post or anchor lantern was produced by the French manufacturer Barbier, Benard & Turenne, Paris France. What makes this lantern so exceptional is that Barbier, Benars & Turenne, also known as BBT was a major manufacturer of the Fresnel lens that light up numerous of the lighthouses found along our countries coastlines. Notice the lighthouse styling of this exceptional maritime light- reminiscent of the

LANTERN DESCRIPTION
Manufacturers nameplate for
Barbier, Benard & Turenne. 
This fine brass lantern stands 14 1/2 inches tall and features a thick, 360 degree glass Fresnel type lens that survives without cracks or chips, protected by 6 heavy gauge cast brass guards. The upper body of the lantern is designed with a ball style chimney with a series of cylindrical vents on the bottom edge. The lower body measures 4 1/4 inches tall from the bottom to the upper lip and would house the lantern burner. The manufacturers plate is positioned on the front side and states in embossed letters "ANCIENS ETACLISSEMENTS, BARBIER, BENARD & TURENNI- USINES (82, AUC CURIAL, PARIS-19; BLANC-MISSERON) (NORD)


Translated- OLD INSTITUTIONS, BARBIER, BENARD & TURENNI FACTORY (82, AUC CURIAL, PARIS-19; Blanc-Misseron) (NORTH) which is the manufacturers name and Paris address of production. The number 82116 is also engraved below and a series of cylindrical air vents in between.  The diameter of the lamp measures 5 1/2 inches. For more information on this lantern, follow the link here to the listing on Skipjack Nautical Wares & Marine Gallery.

Post or Anchor lantern made by Barbier, Benard & Turenne, Paris France,
 Skipjack Nautical Wares & Marine Gallery

MANUFACTURER HISTORY
The Company Barbier, Benard and Turenne, abbreviated BBT is a company founded in 1862 , specialized in the manufacture of headlights, the optical devices and lighting systems. Leader in the field of global flagship in the late 19th century, the company has diversified in the twentieth century, but was dissolved in 1982.

Fresnel lens produced by Barbier, Benard & Turenne
for the Sabine Bank Lighthouse,  Sabine River, Texas.
The company was founded in 1862 by Frédéric Barbier and Stanislas Fenestre under the name "Barber and Fenestre." She then called "Barber and Co." in 1887 and "Barbier and Benard" from 1889, and is in the early twentieth century to its final name "Barbier, Benard and Turenne." It became a public limited company in 1919. Production "Barbier, Benard and Turenne" or "BBT" began to specialize in the production of optical systems for lights , according to the system of Fresnel lense. The company then expanded its production, from farther away in the equipment headlights. In addition to its lens, it extends its first production at various rotation mechanisms, including weight and rotating tank on mercury . Then, it produces more buoys, steel towers, mermaids mist.  BBT thus comes to be able to construct the lighthouses in their entirety, including the tower, optical instruments and all necessary equipment. It becomes "known throughout the world". It is a world leader in the construction of lighthouses in the late 19th century. In 1923, the company developed the "gas BBT" which bears his name. This gas provides improvements in compression quality gas lighting and security.


LOCATIONS
The workshops are primarily located in Paris, close to the Ourcq canal. BBT then retains its headquarters in Paris, factories being located in Nazelles (Indre-et-Loire) and White-Misseron (North).


Sabine River Lighthouse, Texas

Top section of the Sabine River lighthouse tower and lantern room 
The Sabine River Lighthouse is one that houses a Fresnel lens produced by Barbier, Benard & Turenne.  Follow the link here for more information about the  Sabine River Lighthouse.
Read more
 Ashanti Previews Snippets of 5 New Songs from ‘Braveheart’

Ashanti Previews Snippets of 5 New Songs from ‘Braveheart’


Ashanti had her fans going crazy when she gave them an exclusive preview of some new songs off her upcoming album Braveheart. The delayed album, Ashanti’s first on her own label Written Entertainment, is currently expected to be released this summer, with a new single on the way. During a uStream session from this past Sunday, the R&B songstress played snippets of 5 new songs from the project, including the upcoming single “Never Should Have” and “She Can’t”. During a previous interview on Vh1′s ‘Big Morning Buzz,’ the ‘Army Wives’ star revealed she has a big rap feature on the upcoming single, and she is shooting the music video very soon. Take a listen to what Ashanti has in store below:
Read more
 Lil Wayne Set To Embark On “America’s Most Wanted” Tour With T.I. & Future, Tour Dates Here!

Lil Wayne Set To Embark On “America’s Most Wanted” Tour With T.I. & Future, Tour Dates Here!

Rapper, Grammy award winner and Hip Hop icon Lil Wayne is gearing up to hit the road soon, and may be stopping by a city near you. Quickly after being released from the hospital (in which Wayne is in great health), the YMCMB mogul is ready to headline and will be touring North America on his “America’s Most Wanted Music Festival 2013″. Lil Wayne’s press team confirms the tour to be a “high voltage, eye-popping live show”. America’s Most Watned, sponsored by Wayne’s great friends at Mountain Dew will also feature headline 2 of the biggest rappers today, T.I. and Future. Hit the jump to read more and check out when Lil Wayne will be hitting up your hometown. 
The Americas Most Wanted Music Festival is kicking off in light of Lil Wayne’s rapidly approaching new LP “I Am Not A Human Being 2″ which drops tomorrow, March 26th. The festival will launch on July 9th in Alabama and wrap up on September 1st in California; featuring sets from the “Ball” rapper & “Loveee Song” crooner each night. Tickets are available through LiveNation.com and you can check out the 3 month tour span dates below!

For up to date, confirmed album announcements and live concert appearances, please visit Lil Wayne’s official websites, www.youngmoney.com and www.facebook.com/lilwayne.
Lil Wayne “America’s Most Wanted Music Festival 2013″ Tour Dates:

7/09/13 BIRMINGHAM, AL OAK MOUNTAIN AMPHITHEATRE
7/10/13 NASHVILLE, TN BRIDGESTONE ARENA
7/12/13 ATLANTA, GA LAKEWOOD AMPHITHEATRE
7/13/13 TAMPA, FL LIVE NATION AMPHITHEATRE
7/14/13 WEST PALM BEACH, FL CRUZAN AMPHITHEATRE
7/16/13 PITTSBURGH, PA FIRST NIAGRA PAVILION
7/17/13 BALTIMORE, MD 1ST MARINER ARENA
7/19/13 WANTAGH, NY JONES BEACH
7/20/13 PHILADELPHIA, PA SUSQUEHANNA BANK CENTER
7/21/13 SCRANTON, PA TOYOTA PAVILION
7/23/13 BANGOR, ME BANGOR AMPHITHEATRE
7/24/13 HOLMDEL, NJ PNC BANK ARTS CENTER
7/26/13 CHARLOTTE, NC VERIZON WIRELESS AMPHITHEATRE
7/27/13 RALEIGH, NC TIME WARNER PAVILION
7/28/13 VIRGINIA BEACH, VA FARM BUREAU LIVE
7/30/13 BUFFALO, NY DARIEN LAKE PAC
7/31/13 HARTFORD, CT COMCAST THEATRE
8/02/13 WASHINGTON, DC VERIZON CENTER
8/03/13 SARATOGA SPRINGS, NY SPAC
8/04/13 BOSTON, MA COMCAST THEATRE
8/06/13 CINCINNATI, OH RIVERBEND MUSIC PAVILION
8/07/13 CLEVELAND, OH KLIPSCH AMPHITHEATRE
8/09/13 DETROIT, MI JOE LOUIS ARENA
8/10/13 CHICAGO, IL FIRST MIDWEST BANK AMPHITHEATRE
8/11/13 ST. LOUIS, MO VERIZON WIRELESS AMPHITHEATRE
8/13/13 INDIANAPOLIS, IN KLIPSCH AMPHITHEATRE
8/14/13 MEMPHIS, TN FedEx FORUM
8/16/13 DALLAS, TX GEXA PAVILION
8/17/13 AUSTIN, TX AUSTIN 360 AMPHITHEATRE
8/18/13 HOUSTON, TX CWM PAVILION
8/20/13 OMAHA, NE QWEST CENTER
Read more
no image

  Jay-Z and Beyonce Set to Become First Billionaire Couple in Music History



News: Jay-Z and Beyonce Set to Become First Billionaire Couple in Music HistoryNow, though we probably all saw this coming I don’t think any of us were ready for it to happen so quick. According to the International Business Times, Hip-Hop Mogul, Businessman, and now Sports Agent Shawn “Jay-Z” Carter, along with his International Superstar, Philanthropist, and all around ‘Renaissance Woman’ Beyonce Knowles-Carter are set to become the first billionaire couple in music industry history.For more info, hit the jump.Though not completely confirmed as of yet, it is reported that with the combined never-ending endorsement deals and touring dollars grossed from each of them each year, they are well on track to achieve billionaire couple status.
Check out the breakdown of their assets according to VOGUE.com below:
Beyoncé’s current world tour and recent collaborations with Pepsi and H&M have pushed the couples’ earnings over the billion dollar mark. According to tabloid reports, the singer will make approximately $116 million (£75 million) from The Mrs Carter Show, while her H&M earnings are also thought to be in the millions.
Throughout her career, the 31-year-old has worked as an ambassador for brands including L’Oreal and Tommy Hilfiger; enjoyed a successful acting career – starring in films such as Dreamgirls, Cadillac Records and The Fighting Temptations; won 17 Grammy Awards and sold over 75 million records worldwide, including her work with Destiny’s Child. Most recently, she joined Gucci’s Chime for Change campaign, helping to raise funds and awareness of women’s issues worldwide.
Likewise, Jay-Z has earned considerable money from being co-founder of Roc Nation; co-owner of the 40/40 nightclub; co-creator of fashion label Rocawear; former CEO of Def Jam Recordings and through his shares in the Brooklyn Nets basketball. The rapper-cum-producer has also sold approximately 50 million albums worldwide.”
We might as well go ahead and throw in Hova’s recent power move, the selling of his share in the Brooklyn Nets to officially launch Roc Nation Sports (which has already signed two major clients). Not to mention they were named the ‘Highest Paid Celebrity Couple’ of 2012 by Forbes last year. That was a mouthful.
Hustle Definitely Means Hard work. Many congrats and humble appreciation to Hov and Bey for always changing the game!
Read more
Psy's 'Gentleman' video smashes YouTube records

Psy's 'Gentleman' video smashes YouTube records

"Gangnam Style" star Psy performs during his concert "Happening" in Seoul April 13, 2013. Psy's new music video had received more than 50 million views on YouTube by Monday, re-writing the video-sharing site's records for single-day hits. "Gangnam Style" star Psy's new music video had received more than 50 million views on YouTube
Read more
 Muonekano Mpya Wa Elizabeth Michael "Lulu"...

Muonekano Mpya Wa Elizabeth Michael "Lulu"...

Baada ya kuachwa huru kwa dhamana, msanii wa filamu Tanzania Elizabeth Michael maarufu kama Lulu ameonekana kuwa kimya sana ila hivi karibuni ameonekana kutupia picha mtandaoni akiwa kwenye muonekano wake mpya akiwa na rafiki yake wa karibu, picha hizo zilipigwa mahali anapoishi Lulu na nyingine ikiwa ni kwenye gari.
Cheki picha zenyewe hapa chini...
Read more
Lil Wayne feat. Nicki Minaj ~ Mercy Lyrics - HBOY

Lil Wayne feat. Nicki Minaj ~ Mercy Lyrics

Okay
Lamborghini Mercy
Your chick she so thirsty
I’m in that two seat lambo with your girl
She tryna jerk me

Okay
Lamborghini Mercy
Your chick she so thirsty
I’m in that two seat lambo with your girl
She tryna jerk me
(repeat)

{Nicki Minaj}
Drop it to the floor make that díck shake
My home girls slurp it like a milkshake
All you niggas want some Nick cake
If you eat ass I got a thick plate

Weezy, Weezy don’t we do this very easy
I came from Trinidad on a temporary visa
Cause motherfückers know I put the hex on bítches
I fück a bítch over like I’m sexing bítches
Tic-tac-toe then I put the X on bítches
Point game I score who’s next you bítches
Cause all you niggas fake
And all you niggas boast
So all you niggas fück you
All you niggas choke
Cause all you do is boast and argue over hoes
So all you niggas toast
How all your díck don't work

{Nicki Minaj}
Fück fück your Lambo
Fück fück your Merc'
I got more money in in my fücking purse
Court side you in the C Section
I’m with them bloods you you with the C Section
In Malibu I’m about a sea section
And all these bítches is my sons
Yeah C-Section

I’m a Republican voting for Mitt Romney
You lazy bítches just fücking up the economy
Out in Miami I be chilling with a zombie
Diablo Alejandro dímelo Gandhi

Lamborghini Mercy
Your chick she so thirsty
I’m in that two seat lambo with your girl
She tryna jerk me www.eliterics.com

Okay
Lamborghini Mercy
Your chick she so thirsty
I’m in that two seat lambo with your girl
She tryna jerk me

{Lil Wayne}
Uh, I’m the shit turn your nose up
I do some bad bítches on my tour bus
I do some bad bítches on my private jet
If them bítches ain’t fücking give them parachutes
Walked up to a redbone like I’m the shit
Told her give me that püssy and fück my bítch
Yeah skate rebel gun at my waist level
Bítch yellow, tape yellow, give you an H.A.L.O
I don’t do püssy niggas, but get the most püssy nigga
I’m popping purps I’m sipping lean
Smoking pot like cooking dinner
My homie T, roll up my blunt
Skinnier than Rex Ryan
I’m counting money I’m smoking plants
Call that shit math and science
Now suck díck, Trukfit
Snapback on your dog ass
These niggas broke like Mr. Glass
They don’t want none, Sister Act
Cause Young Money you bítch
Chew my weed louder than pimp suits
Your bítch swallow my pimp juice
Her püssy wetter than swim suits

{Lil Wayne}
Swish, Michael
Phelps nigga in your hoe
Coupe the color of Yoohoo
Rude boy free Buju
Fück wrong with these fück niggas
I been balling since 98
Fück y’all I’d rather skate
Shoot you up in your database
I fell in love with drop tops
I fell in love with shotguns
Our guns bigger than cop guns
Y’all ain’t spitting, dry tongue
I like wet püssy, she like hard díck
Hard head make her soft fast
Tatted up from head to toe
Guess you can call me a marked man
Wayne soaring
All my whores is whoring
All you rappers is boring
Trukfit hat and some Jordans

Okay
Lamborghini Mercy
Your chick she so thirsty
I’m in that two seat lambo with your girl
She tryna jerk me

Okay
Lamborghini Mercy
Your chick she so thirsty
I’m in that two seat lambo with your girl
She tryna jerk me
Read more
 VANESSA MDEE : COLLABO NILIZOOMBWA TANGU NITOE CLOSER NI ZAIDI YA 10

VANESSA MDEE : COLLABO NILIZOOMBWA TANGU NITOE CLOSER NI ZAIDI YA 10

Posted: 2013-04-21 11:50:49 UTC-07:00

Leo hii kupitia kipindi cha top 20 cha Clouds Fm, msanii mpya Vanessa Mdee amekubali kupokea request nyingi kutoka kwa wasanii wakimtaka kufanya nao kolabo, na katika request alizopata tangu kutoa ngoma yake inayofanya vizuri "closer" hazipungui 10 yaani ni zaidi ya 10
"aaam, unajua watu wanapenda vitu vipya vitu tofauti, so namshukuru mungu nimepata ofa, yah kwangu mimi its an offer, when mtu anataka kukuweka kwenye chorus yake, cause mimi mwenyewe nimetoka kwenye you know pamoja na kusaidiwa na chorus ya AY na Ommy, so i understand how beautiful it is kuombwa kufanya kolabo nahisi zimekuwa nyingi, namshukuru mungu kwamba watu wameanza kuelewa kipaji changu, na kuweza kunikubali mimi kama msanii, kama labda may be ten, zaidi ya kumi labda, lakini yeah hazipungui kumi" amesema Mdee



Vanessa pia ameongelea msinano wake katika kufanya kolabo

"kutokana na contract yangu na Bhits, mtu yoyote ambae anataka kufanya kolabo, wote tunatakiwa tuweze ku benefit off each other, kwahiyo mimi most of the time japo kuwa nampenda msanii, napenda mziki wake, inakuwa lazima apitie kwa pancho latino, au kwa Harmy B, wakubali ama wakatae kwasababu wanaelewadizaini ya mziki ambao nafanya mimi na malengo ya mziki ambao nafanya mimi, so lazma ipite kwao wanipe go ahead ama waseme vipi, so mimi kusema ukweli, i would love to work with kila mtu, lakini naelewa wapi they are coming from kama record label na nawaheshim kasababu they are proffesional na they had longevity in the industry kwasababu ya kujua quality."

Read more
 NATURE AKERWA NA KIPINDI CHA TELEVISHENI WAMTOA NA KUKATIZA INTERVIEW KISA KAVAA NDALA NA KAWOSH

NATURE AKERWA NA KIPINDI CHA TELEVISHENI WAMTOA NA KUKATIZA INTERVIEW KISA KAVAA NDALA NA KAWOSH

Posted: 2013-04-20 09:21:29 UTC-07:00

Msanii mkongwe na maarufu nchini, Juma Kassin Kiroboto, aka Nature, ameonyesha kukerwa na kile kilichoendelea jana usiku katika kipindi cha burudani cha  televishen inayotizamwa africa ya mashariki alipokuwa akifanya nao interview. Nature alionekana akiwa amevaa kawosh na ndala na mara baada ya mahojiano mafupi ya mwanzo ambapo mtangazaji alisema watarejea baada ya mapumziko mafupi Nature hakuonekana tena. Kilichotokea  kwa mujibu wa Nature mwenyewe, ni wakati wa mapumziko hayo, mtangazaji wa kipindi hicho alimfata na kumuambia kuwa hataendelea na interview tena kwasababu ya mavazi aliyokuwa kavaa ambayo ni ndala na kawosh. kuonyesha kukerwa kwake na ishu hiyo Nature aliamua kuandika kupitia ukurasa wake wa facebook....
Juma Natur Kibla
hivi kwa mfano angekuwepo mzungu pale na kavaa ndala wangesitisha mahojiano na kuvaa kaoshi ni tatizo,kunywa nimekunywa bt kuna baya nimeliongea na hivi kama kweri we nimuandishi wa habari unaruhusiwa kuvaa vile kisheria kama yule mtangazaji nimeboreka kinoma na ikiwezekana nasitisha kuanzia ssa kupeleka ngoma zangu pale siitaji interview
Read more

NAKAAYA: UJA UZITO WANGU SIO WA MTU MAARUFU

Posted: 2013-04-23 12:42:52 UTC-07:00
Hit maker wa "Mr Politician" Nakaaya Sumari, baada ya kukaa kimya kwa mda mrefu, amezungumza na Amplifaya ya Clouds Fm na kuthibitisha kuwa ana ujauzito ambao ni miezi kadhaa tu atajifungua.Alipoulizwa kuhusu baba wa mtoto huyo, Nakaya alicheka kwanza na kusema kuwa ni wa mtakatifu, na kugoma kabisa kumtaja baba wa mtoto huyo mtarajiwa, huku akisema kuwa sio wa mtu yeyote anaejulikana.
blog hii inakutakia li;a la kheri na ujifungue salama
hivi sasa pia Nakaaya ameachia wimbo mpya unaoitwa "Utu Uzima Dawa" akiwa amemshirikisha producer Dunga, ukiwa umetengenezwa chini ya producer Lamar "Fish Crab"

Read more

UFARANSA YAHALALISHA NDOA ZA MASHOGA BAADA YA MJADALA MKALI

Posted: 2013-04-23 14:09:03 UTC-07:00

Christiane Taubira, Waziri wa sheria wa Ufaransa 
Watunga sheria wa Ufaransa wamehalalisha ndoa za jinsia moja baada ya miezi ya mjadala mkali  na maandamano ya mitaani yaliyopelekea mamia kwa maelfu  kuja Paris.
kura 331 - 225 za siku ya juma nne zimeangukia kwa walio wengi ndani ya bunge ambao ni Socialist. waziri wa sheria wa Ufaransa Christiane Taubira,amesema ndoa ya kwanza kufungwa itaweza kuwa mapema mwezi june.
wanaopinga sheria hiyo wanasema, Ufaransa haiko tayari kuhalalisha ndoa za jinsia moja, na kura zinaonyesha kuwa wafaransa wamejitenga juuu ya swala hilo.
mamia ya askari walimwagwa nje ya viwanja vya bunge kabla ya kura hizo kupigwa, kwa maandalizi ya kama kungekuwa na maandamano kuzunguka jengo la bunge na kando kando ya mto Seine.
Ufaransa ni nchi ya 14 ya kuhalalisha ndoa za mashoga, na kura ya Jumanne imekuja wiki moja baada ya New Zealand - kwa utata kidogo sana - kuruhusiwa wanandoa wa jinsi moja kuoana.
Read more
ADAM MCHOMVU KUTAMBULISHA SINGLE 2 MPYA NDANI YA MAISHA CLUB

  • ADAM MCHOMVU KUTAMBULISHA SINGLE 2 MPYA NDANI YA MAISHA CLUB

    Posted: 2013-04-25 12:32:23 UTC-07:00

    Mtangazaji wa Clouds Fm ambae pia ameamua kujiingiza katika mziki "Adam Mchomvu" A.K.A Baba Jonii, siku ya jumapili atatambulisha ngoma zake mbili mpya ndani ya Maisha Club.Siku hiyo Adam atatambulisha ngoma ambayo siku za nyuma aliwaonjesha kidooogo mashabiki wake kupitia kipindi cha XXL ikiwa kama demo, lakini kwa hivi sasa imeshakamilika "Unaakili wewe", pamoja na pini lingine alilolifanya na wasanii kutoka Rada entertainment, ambapo chini ya Rada kuna Ngwea, TID, Romy Jones na wengineo. Wasanii hao pia kutoka Rada entertainment wakuwepo kwa ajili ya kutoa perfomace, kumbuka ni jumapili hii ndani ya Maisha Club
    Adam Mchomvu
    ok jumapili @ club bilicanas BABA LA BABA (BABA JONII) ntazindua track zangu mbili ... ebu dondoka pale uone utofauti ya mimi na wao, ofcuz nimepika na mzee mnya ma T.i.D, ZAMBADA M2 MBAYA KAIZA SOSA BABUU WA KITAA, ROMMY JONES its rader ent baby... miss dar indian ocen watapiga show fupi.. so watu wabaya tukutane ubayani... mzee amesema!!!!!!

SONGA SOON KUTOKA NA ILLMATHEMATIX

Posted: 2013-04-25 07:58:55 UTC-07:00


 Msanii wa hiphop Songa yuko mbioni kuachia pini jipya "Illmathematix" akiwa kamshirikisha Identity na One the incredible.Juma tano ijayo baada ya mapumziko ya hollyday ndefu kidogo Songa atai bless for the first time kwa radio stations kwa ajili ya kufurahisha na kufundisha akili yako.Kama hujapata kumfahamu, cheki  na video ya wimbo wake "niite songa" hapo chini

5h
WIMBO MPYA TOKA KWA SONGA UITWAO ILLMATHEMATIX feat. IDENTITY NA ONE UTAACHIWA RASMI JUMATANO IJAYO.
Read more
 YOU HEARD: ISHA MASHAUZI ATUHUMIWA KUIBA POCHI YENYE ZAIDI YA SH LAKI 7

YOU HEARD: ISHA MASHAUZI ATUHUMIWA KUIBA POCHI YENYE ZAIDI YA SH LAKI 7

Posted: 2013-04-25 07:28:19 UTC-07:00

Msanii aliewahi kuchukua tuzo mwaka jana kwa umahiri wake wa kuimba vizuri mziki wa taarabu, Isha Mashauzi, leo hii kupitia u heeeeard na Gossip Cop Sudy Brown, ametuhumiwa kuiba pochi la mwenye duka maeneo ya Kariakoo, na huku ikisemekana pochi hiyo ilikuwa na mkwanja wa mauzo, shilingi 758,000.

Read more